Wasiotaka kucheza Arsenal wabaki nyumbani- Xhaka

Arsenal wamefungwa michezo miwili mfululizo na kupoteza matumaini ya kucheza Ligi ya mabingwa msimu ujao

Nahodha wa klabu ya Arsenal Granit Xhaka amewajia juu wachezaji wa kikosi hicho baada ya kufungwa na Newcastle United mabao 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Akiwataka wachezaji ambao hawapo tayari kujitoa kuipambania klabu wabaki nyumbani au wasicheze kabisa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS