Spurs sasa wanahitaji alama moja kufuzu UEFA

(Wachezaji wa Tottenham wakishangilia goli dhidi ya Arsenal)

Baada ya klabu ya Arsenal kupoteza mchezo wake wa jana usiku dhidi ya Newcastle United kwa magoli mawili kwa sifuri, Wamewapa nafasi nzuri Tottenham na Arsenal kujiweka katika wakati mgumu kuwania kumaliza katika nafasi nne za juu katika msimamo wa ligi kuu ya England msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS