Warriors yavunja rekodi ya Mavericks

Mchezaji wa Golden State Warriors, Wardell Curry akimzua nyota wa Dallas Mavericks, Luka Doncic.

Dallas Mavericks watakuwa na kibarua kizito kwenye mchezi wa marejeano dhidi ya Golden State Warriors katika dimba la Chase Center siku ya Jumamosi baada ya kupoteza mchezo wa kwanza kati ya  saba inayotarajiwa kuchezwa kwenye fainali ya Kanda Magharibi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS