Boston Celtics yaivua Milwaukee Backs, NBA

Wachezaji wa Boston Celtics wakishangilia kwenye mchezo dhidi ya Bucks

Michezo ya nusu fainali ya kanda ya Mashariki na magharibi ya ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA imekamilika usiku wa kuamkia leo na kushuhudia timu za Boston Celtics na Dallas Mavericks zikifuzu hatua ya fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS