Son aweka Rekodi ya kufunga bila penati Spurs

(Heung-min Son akishangilia goli kwenye mchezo dhidi ya Arsenal)

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs Heung-min Son sasa amefikisha magoli 21 ya ligi kuu ya England baada ya kufunga goli moja katika ushindi wa magoli 3 kwa 0 dhidi ya Arsenal usiku wa jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS