Atalipa bilioni 1 Ukweni asipoleta mjukuu

Mtoto wao amedumu katika ndoa miaka 6 bila mtoto

Huko nchini India wazazi wamefungua kesi kwa mtoto wao wa kiume na mkwe wao wakitaka waletewe mjukuu ndani ya mwaka mmoja au walipwe Rupia milioni 50 (Rupia milioni 25 kutoka kwa kila mmoja) sawa na Tsh bilioni 1.5

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS