Muwe na utamaduni wa kuzungumza - Waziri Gwajima

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima ameiasa jamii kupitia familia zao kuweka utamaduni wa kuzungumza masuala mbalimbali yanayowahusu ili kuepukana na migogoro na uwepo wa vitendo vya ukatili katika jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS