Sabaya na wenzake waachiwa huru

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, na wenzake wawili baada ya kubaini kulikuwa na mapungufu katika mwenendo mzima wa kesi. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS