"Chunguzeni mishahara kwa wafanyakazi" - Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa daraja la JPM

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara Ujenzi pamoja na wataalam kukutana na idara ya kazi ya mkoa wa Mwanza ili kuchunguza kama kuna madai yoyote ya mishahara kwa wafanyakazi wanaojenga daraja la Kigongo Busisi maarufu kama daraja la JPM ili waweze kulipwa na ujenzi usisimame.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS