United,Chelsea Sare ya 4, Rangnik kuinoa Austria

(Cristiano Ronaldo na Thiago Silva wakilalamika kwa muamuzi Mike Dean)

Magoli ya Marcos Alonso na Cristiano Ronaldo yaliyofanya mchezo wa usiku wa jana april 28 kuisha kwa Sare ya 1 - 1 katika mchezo wa ligi kuu ya England Manchester united dhidi Chelsea ilikua ni sare yao ya 4 mfululizo huku michezo miwili wakitoka sare tasa na michezo miwil wakifungana 1-1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS