Nyota 6 watajwa tuzo za heshima EPL “Hall of Fame"

(wanao wania tuzo ya heshima ligi ya England 2022)

Manguli wa zamani wa ligi kuu ya England akiwemo Sergio Kun Aguero, Paul Scholes, Vincent Kompany, Didier Drogba, Ian Wright na goli kipa Peter Schmeichel wameingizwa kwenye orodha ya watakao wania tuzo ya heshima ya ligi hiyo “Hall of Fame”.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS