Barty ajiondoa michuano ya Miami Open
Nyota wa tennis Muaustralia Ashleigh Barty amejiondoa kwenye mashindano yanayokuja ya Indian Wells Masters na Miami Open kwa kuwa amekosa maandalizi ya kutosha kueleka kwenye mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza mnamo March 7 mpaka March 20 mjini California nchini Marekani

