Bondia Usyk ajiunga na jeshi la Ukraine

Bondia Oleksandr Usyk

Bondia Oleksandr Usyk amejiunga na kikosi cha ulinzi cha Kyiv Territorial Defence kwa ajili ya kuitetea nchi yao na uvamizi unaofanywa na nchi ya Urusi tangu sakata hilo lianze siku ya Alhamisi ya wiki iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS