Chelsea yatinga fainali, Spurs hoi Carabao Cup

(Rudiger akifunga bao kwa kichwa na kuipa Chelsea ushindi wa 1-0 )

Matajiri wa Jiji la London, Klabu ya Chelsea imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Carabao msimu wa mwaka 2021-22 baada ya kuifunga Tottenham Hotspurs 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa mkondo wapili wa Nusu Fainali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS