Sababu za Rais Samia kuitenganisha Wizara ya Afya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesema ataigawa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee Watoto ili ibaki kuwa Wizara ya Afya wakati nyingine ikibaki kuhusika na masuala mengine Jamii Jinsia Wazee Watoto.