Kutukuzwa si tabia yangu - Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemuahidi Askofu Severine Niwemugizi, kwamba yeye si mtu wa kutaka kutukuzwa na mara nyingi amekuwa akijitahidi kujishusha ili awe sawa na wengine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS