Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemuahidi Askofu Severine Niwemugizi, kwamba yeye si mtu wa kutaka kutukuzwa na mara nyingi amekuwa akijitahidi kujishusha ili awe sawa na wengine.