Hamilton amekanusha taarifa za kustaafu

Lewis Hamilton, atauwania ubingwa wa 8 wa Formula One msimu huu 2022

Lewis Hamiliton amethibitisha kuendelea kukimbiza magari kwenye Lang langa msimu huu wa 2022 amesema kuwa hakuwahi kusema kuwa anastaafu. Dereva huyo wa Mercedes amesema haya wakati wa uzinduzi wa magari maya watakayo yatumia msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS