Yanga kutafuta ushindi wa kwanza Tanga, tangu 2015

Kikosi cha Yanga

Timu ya Wananchi Yanga SC inakibarua cha kuvunja mwiko wa kutopata ushindi katika uwanja wa Mkwakwani uwanja wa nyumbani wa Coastal Union ya Tanga. Mara ya mwisho Yanga kushinda Tanga dhidi ya Coastal kwenye ligi ilikuwa mwaka 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS