Rais Samia awataja wanaotuliza ubongo wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa wajukuu zake ndiyo tiba yake kuu pale kichwa chake kinapokuwa kimejaa kwa mambo mengi hasa akiwa Dar es Salaam. Read more about Rais Samia awataja wanaotuliza ubongo wake