Curry na Durant vinara wa Kura NBA Allstar 2022

Steph Curry (Kushoto) akimzuia Kevin Durant kwenye moja wapo ya michezo ya NBA.

Nyota wa Golden State Warriors, Stephen Curry na Kevin Durant wa Brooklyn Nets ndiyo wacheza kikapu wanaoongoza kwa kupigiwa kura nyingi na mashabiki ili waingie kwenye kikosi cha NBA All Stars kwa msimu huu 2021-22.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS