Yanga SC yakemea kitendo cha Djuma Shabani

(kutoka kushoto:Msemaji wa Yanga, Haji Manara na Djuma Shabani)

Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara amefungukia kuhusu sakata la beki wao Djuma Shaban kuonekana akimpiga kiwiko mchezaji wa Polisi Tanzania Yahya Mbegu baada ya mchezaji huyo kumkanyaga Djuma kwenye mchezo wa NBC Tanzania uliochezwa Jumapili ya Januari 23, 2022 Jijini Arusha,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS