Auger-Aliassime bingwa Tennis Rotterdam Open 2022

(Felix Auger-Aliassime akiwa kwenye mashindano ya Rotterdam Open)

Felix Auger-Aliassime amekuwa bingwa wa mashindano ya Tennis ya Rotterdam Open ya Nchini Uholanzi baada ya kumfunga mgiriki Stefano Tsitsipas anayeshika nafasi ya nne kwenye viwango vya ubora Duniani kwa seti 2-0.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS