Bashe amtumbua mkandarasi
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe, amemfuta kazi mkandarasi wa kampuni ya MV Consult kwa kushindwa kukamilisha ujenzi wa ghala la kisasa la kuhifadhia na kukaushia mazao ya nafaka kwa ajili ya udhibiti wa sumukuvu linalojengwa katika kijiji cha Engusero wilayani Kiteto.

