Nape akabidhi leseni za magazeti yaliyofungiwa

Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye

Waziri wa Habari na Mawasiliano ya Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametoa leseni za kuanza kuchapishwa tena magazeti ya MwanaHALISI, Mawio, Mseto na Tanzania Daima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS