Ujumbe wa Gerson Msigwa kwa wasemaji wa vilabu

Mdau mkubwa wa michezo ambaye hivi sasa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa.

Aliyewahi kuwa msemaji wa timu ya Maji Maji ya mkoani Ruvuma na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ambaye hivi sasa ni msemaji wa serikali, Gerson Msigwa amewasihi wasemaji na wakuu wa idara ya Habari na mawasiliano wa vilabu vyetu nchini kutenda kazi kwa weledi ili kuinua soka nchini

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS