Ujumbe wa Gerson Msigwa kwa wasemaji wa vilabu
Aliyewahi kuwa msemaji wa timu ya Maji Maji ya mkoani Ruvuma na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ambaye hivi sasa ni msemaji wa serikali, Gerson Msigwa amewasihi wasemaji na wakuu wa idara ya Habari na mawasiliano wa vilabu vyetu nchini kutenda kazi kwa weledi ili kuinua soka nchini