Sergio Ramos akaribia kuinunua Sevilla FC

Sergio Ramos

Kwa mujibu wa ripoti ya Cadena SER, gwiji wa soka wa Hispania, Sergio Ramos, amefikia makubaliano ya kimsingi na wanahisa wa klabu ya Sevilla kuhusu ununuzi wa klabu hiyo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS