Manchester United yafanya mauaji makubwa EPL

(Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya Martial kufunga bao.)

Klabu ya Manchester United ‘Mashetani wekundu’wamefanya mauaji makubwa kwenye EPL baada ya kupata ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Southampton kwenye dimba la Old Trafford usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS