Ni LA Clippers dhidi ya Brooklyn Nets kwenye NBA

Wachezaji wa Brookyn Nets, kuanzia kushoto, James Harden, Kevin Durrant na Kyrie Irving.

Michuano ya Ligi ya kikapu nchini Marekani NBA, itaendelea alfajiri ya kuamkia kesho kwa michezo sita, lakini mchezo miwili inayotazamiwa kufuatiliwa na wengi ni kati ya Brooklyn Nets dhidi ya LA Clippers na ule wa Golden State Warriors dhidi ya Boston Celtic.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS