Neymar Jr kumleta Lionel Messi PSG
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika nchini Brazil, zinaripoti kuwa mshambuliaji wa klabu ya PSG ya Ufaransa na timu ya Taifa ya Brazil, Neymar Jr amefikia makubaliano ya kusaini kandarasi mpya ya miaka minne kuendelea kusalia PSG hadi mwaka 2026 na taarifa hizo kuwekwa wazi hivi karibuni.