Jafo atangaza wiki nzima ya kupiga nyungu
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, ametangaza siku saba za kupiga nyungu kwa Watanzania huku wakiendelea kumuomba Mungu, alizozipa jina la 'One week season Three' ili watu wajifukize huku wakiendelea kuchapa kazi na Corona ikose nafasi.