Kuchukua ubingwa ni ngumu- Tuchel

Chelsea imeshinda michezo 2 tu kwenye michezo 9 ya mwisho ya EPL

Kocha wa Chelsea Thomas Tuchel amesema malengo ya kikosi chake msimu huu ni kuhakikisha wanamaliza kwenye nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa ligi kuu England na sio kuwania ubingwa hii ni baada ya kikosi hicho kutoka suluhu na Wolves kwenye mchezo wa EPL.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS