JPM amtumia salamu mbunge mwenye viwanda Zimbabwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, amemuagiza mbunge wa jimbo la Kahama Mjini, Jumanne Mashimba, kuhakikisha anajenga kiwanda cha kuongeza thamani ya mchele jimboni kwake, hali itakayosaidia kuokoa soko la mpunga na kukuza kipato cha wakulima wa mkoa huo.