Askari akutwa amejinyonga nyumbani kwake
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Wankyo Nyigesa amethibitisha kutokea kwa tukio la kujinyonga la askari wa Jeshi la Polisi Yusuph Said ambalo limetokea katika eneo la Miembe saba B, kata ya Kongowe Wilayani Kibaha.