Museveni aongoza katika vituo 8, 310
Mgombea urais wa Uganda kupitia chama cha NRM, Yoweri Museveni, anaongoza kwa kura nyingi katika matokeo ya awali yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi ya nchini humo, yaliyotangazwa mapema asubuhi ya leo ya Januari 15, 2021.