Dawa za Mil. 56 zakamatwa

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Mara, Alex Kuhanda.

TAKUKURU mkoa wa Mara imekamata jumla ya maboksi 40 ya dawa za binadamu zilizokwisha muda wake wa matumizi, katika hopitali za serikali na vituo vya afya binafsi mkoani humo, huku wakiwashikilia watu wawili kwa tuhuma za ugawaji wa dawa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS