Wanachotakiwa kukifanya Simba makundi CAF

Mshauri wa michezo nchini, Dokta Jonas Tiboroha (Kushoto) pichani enzi zake akiwa kiongozi katika klabu ya Yanga.

Licha ya kuipongeza klabu ya soka ya Simba kutinga hatua ya makundi michuano ya ligi ya mabingwa Afrika, mshauri wa michezo nchini Dokta Jonas Tiboroha amewataka wawakilishi hao wa nchi kufanya usajili katika idara ya ulinzi na kiungo ili kuimarisha kikosi chao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS