Yanga na Namungo mechi ya kisasi
Mabingwa mara moja wa kombe la Mapinduzi, klabu ya Yanga inatazamiwa kushuka dimbani kukipiga dhidi ya 'Wauaji wa kusini' klabu ya Namungo ya mkoani Lindi mchezo utakaochezwa kwenye dimba la Amani saa 2:15 usiku ya leo tarehe 8 januari 2021 visiwani Zanzibar.