Yanga na Namungo mechi ya kisasi

Wachezaji wa Yanga na Namungo wakiwa wanamzonga mwamuzi kwenye mchezo wa VPL wa mzunguko wa kwanza msimu huu uliomalizika kwa sare ya 1-1 kwenye dimba la mkapa jijini Dar es Salaam.

Mabingwa mara moja wa kombe la Mapinduzi, klabu ya Yanga inatazamiwa kushuka dimbani kukipiga dhidi ya 'Wauaji wa kusini' klabu ya Namungo ya mkoani Lindi mchezo utakaochezwa kwenye dimba la Amani saa 2:15 usiku ya leo tarehe 8 januari 2021 visiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS