Jose Mourinho asaka fainali ya kwanza na Spurs

Kocha wa Tottenham Hotspurs, Jose Mourinho akishangilia.

Kocha wa Tottenham Hotspurs Jose Mourinho usiku wa leo Januari 5, anatazamiwa kuiongoza klabu yake kucheza mchezo wa nusu fainali ya kombe la Carabao dhidi ya klabu ya Brentford kutoka Championship mchezo utakaochezwa saa 4:45 Usiku  leo kwenye dimba la Wembley nchini England.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS