Mugalu apewa jukumu dhidi ya FC Platinum Mshambuliaji Chris Mugalu Kuelekea mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika raundi ya kwanza kati ya Simba SC ya Tanzania dhidi ya FC Platinum ya Zimbabwe, Simba imesema Chris Mugalu ana jukumu maalum. Read more about Mugalu apewa jukumu dhidi ya FC Platinum