Wamiliki wa malori kuwajibishwa
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania, Wilbroad Mutafungwa, ametoa maagizo kwa wamiliki wa magari makubwa kuhakikisha wanatoa stahiki kwa madereva na kutoa mikataba sahihi ili kupunguza ajali za barabarani nchini.