Wasanii watatu waliopendeza zaidi 2020 Tanzania

Kushoto ni Nedy Music, picha ndogo ni Ice Boy kulia ni Lulu Diva

Mtangazaji wa kipindi cha Nirvana ya East Africa TV, Host wa Miss Tanzania na mkali wa 'fashion' Tanzania Deogratius Kithama amemtaja Nedy Music, Ice Boy na Lulu Diva ni baadhi ya wasanii ambao wamepndeza zaidi mwaka 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS