Kikosi cha Taifa Stars CHAN 2021, chatajwa

Kocha Mkuu Etiene Ndayiragije (kulia), na kocha msaidizi Selemani Matola (kushoto)

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kinachojiandaa na michuano ya timu za taifa kwa  wachezaji wanaocheza ligi za ndani barani Afrika 'CHAN', kimewekwa wazi na TFF baada ya kuchaguliwa na benchi la ufundi la timu hiyo likiongozwa na kocha mkuu Etiene Ndayiragije.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS