Rais Magufuli alivyoshughulikia suala la Sugu 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli.

Rais Dkt. Magufuli kupitia kwa RC Mbeya, Albert Chalamila, amekanusha uvumi wa taarifa zilizokuwa zikisambaa mitandaoni kwamba, serikali imepanga kuibomoa Hoteli ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia CHADEMA Joseph Mbilinyi ambayo ilidaiwa kuwa imejengwa kwenye chanzo cha maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS