TAKUKURU yarejesha Trekta la serikali 

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Mara, Alex Kuhanda

TAKUKURU mkoani Mara imefanikiwa kuwarudishia wanakikudi wa Minazini, Trekta lenye thamani ya shilingi Mil. 39, ambalo lilikuwa ni mali ya kikundi hicho baada ya kikundi hicho kuchukua mkopo wa Mil. 6 hali ilipelekea mkopeshaji kulichukua trekta hilo kinyume na makubaliano ya awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS