Zifahamu kadi 3 nyekundu za Messi kwenye soka

Nahodha wa Barcelona Lionel Messi

Lionel Messi usiku wa jana  tarehe 17/1/2021 aliadhibiwa kwa kadi nyekundu, katika mchezo wa fainali ya  Super Cup ya Hispania iliyowakutanisha Barcelona dhidi ya Athletic Bilbao, ikiwa ni kadi yake ya kwanza tangu aanze kuitumikia Barcelona mwaka 2004.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS