Chelsea na West Ham kitaeleweka leo EPL

Meson Mount wa Chelsea

Klabu ya Chelsea inataraji kujitupa dimbani kuvaana na wagonga nyundo wa jiji la London klabu ya Westham United kwenye mchezo wa EPL unaotazamiwa kupigwa saa 5 kamili usiku wa hii leo kwenye dimba lake la nyumbani la Stamford Bridge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS