Mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican, Donald Trump.
Mgombea urais wa Marekani kupitia chama cha Republican Trump ametishia kwamba, ataenda mahakama za juu zaidi kupinga matokeo ya uchaguzi hii ni baada ya kudai kuwa uchaguzi huo umegubikwa na udanganyifu.