Watano wakamatwa kampeni za CHADEMA na CCM
Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kufanya fujo, kujeruhi na kusabababisha uharibifu wa mali,wakati msafara wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na chama cha Mapinduzi (CCM) walipokutana njiani wakitoka kwenye mikutano ya kampeni.