Watano wakamatwa kampeni za CHADEMA na CCM

Kamanda wa Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba

Watu watano wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kufanya fujo, kujeruhi na kusabababisha uharibifu wa mali,wakati msafara wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) na chama cha Mapinduzi (CCM) walipokutana njiani wakitoka kwenye mikutano ya kampeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS