Bernard Morrison ametozwa faini ya laki tano na kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumpiga ngumi mchezaji wa Ruvu Shooting FC
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba27,2020 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya maamuzi yafuatayo.