Magufuli akabidhiwa cheti, aipongeza tume kwa hili

Magufuli akipokea cheti cha ushidni kutoka kwa Jaji Semistocles Kaijage

Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Novemba 1, 2020, amekabidhiwa cheti cha ushindi wa nafasi hiyo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji mstaafu Semistocles Kaijage.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS